Mungu Mwenye Nguvu

Mungu Mwenye Nguvu

Solomon Mukubwa

Альбом: Mungu Mwenye Nguvu
Длительность: 7:33
Год: 2013
Скачать MP3

Текст песни

Halleluya,
Ndugu yangu Biblia inasema
waabudio halisi watamwabudu Bwana
katika roho na kwa kweli
Na ni wakati huu – ukiwa ndani ya gari lako,
ukiwa ndani ya basi unasafiri,
ukiwa unafanya kazi ndani ya ofisi yako
Jiunge pamoja nami tumwinue Bwana
tumwambie wastahili uko mwenye nguvu
Ukiwa uliamka asubuhi
na haukumwambia kitu Mungu,
ni wakati wa kumwambia Bwana:
Utukuzwe, uinuliwe
Tujiunge pamoja kwa wakati huu
tumwambie Bwana "Wastahili"
Ikiwa uko katika maombi ya kufunga na kuomba,
hebu tujiunge pamoja, Twende Haleluya

Mungu wetu mwenye nguvu, ni Baba wa Milele
(Mungu wetu mwenye nguvu, Baba wa milele)
Eeh Eeh Ni Mwenye nguvu, Ebeneza Baba wa milele
(Mungu wetu mwenye nguvu, Baba wa milele)
Wanipa mema, wewe ni mwenye nguvu, Baba wa milele yote
(Mungu wetu mwenye nguvu, Baba wa milele)
Nguvu zako zashangaza Dunia, uliumba mbigu pasipo nguzo,
hewani Baba.
(Mungu wetu mwenye nguvu, Baba wa milele)

Uko mwema, Bwana, matendo yako ni ya ajabu sana aaaaa

Neema yako, fadhili zako, kila asubuhi
Ni mpya tena zanifariji moyo niamkapo baba

Nikikosewa na maisha, wanipa tumaini la kupata maisha Baba
Wajapo nicheka majirani wangu
Wewe upo upande wangu, Uhimidiwe Yahweh

Neema yako, fadhili zako, kila asubuhi
Ni mpya tena zanifariji moyo niamkapo

Wanipa tumaini la maisha Baba yangu o duniani
Natembea nawe Baba yangu,
Hujaniacha mimi o Baba

Neema yako, fadhili zako, kila asubuhi
Ni mpya tena zanifariji moyo niamkapo

Wanipa tumaini la maisha Baba yangu oooh duniani
Natembea nawe Baba yangu,
Hujaniacha mimi
oooh Baba.

Neema yako, fadhili zako, kila asubuhi
Ni mpya tena zanifariji moyo niamkapo

Kulala, kuamka
ni kwa neema yake Mungu, Ndugu yangu,
Ulimpa mungu nini wewe
kusudi uwe jinsi ulivyo?
Usijivune bure ni neema yake baba.

Neema yako, fadhili zako, kila asubuhi
Ni mpya tena zanifariji moyo niamkapo

Aiiiii, Yesu, nani kama wewe Bwana, Sina mwingine kukuliko wewe, mfalme wa dunia ni wewe, mwanzo na mwisho ni wewe Baba aaa oh Yesu

Baba utukuzwe, Baba uinuliwe

Rafiki yangu, I love you, I love you, I love you Baba yo

Baba utukuzwe, Baba uinuliwe

Maneno yako yafungua watu, yafungua watu, yafungua watu

Baba utukuzwe, Baba uinuliwe

Sitasahau uliponitoa, Umenitoa mbali, umenitoa mbaali baba

Baba utukuzwe, Baba uinuliwe

Oooh oooh, uhimidiwe yahweh

Baba utukuzwe, Baba uinuliwe

Rafiki yangu nakupenda sana, nakupenda sana, nakupenda sana Baba eeh

Baba utukuzwe, Baba uinuliwe

Rafiki yangu I love you, I love you, I love you, I love you

Baba utukuzwe, Baba uinuliwe

Sitasahau ulikonitoa, Umenitoa mbali, umenitoa mbaali baba

Baba utukuzwe, Baba uinuliwe

Maneno yako Yana nguvu sana, Yana nguvu sana, Yana nguvu sana Baba

Baba utukuzwe, Baba uinuliwe

Kwa neno lako Lazaro kafufuka, kafufuka, Kafufuka Yesu wangu

Baba utukuzwe, Baba uinuliwe

Rafiki yangu nakupenda sana, nakupenda sana, nakupenda sana Baba

Baba utukuzwe, Baba uinuliwe

Oooh oooh, Baba, ooooo, Baba, ooooo Baba, mmmmmm, noono, ooooo,, Baba yoyyo