Nangojea
Guardian Angel
3:53Kuna vitu vingine kwa maisha yako ni vya kunyamaza Siri zako za ndani na mambo yako si ya Kutangaza Nakuona unavyofunguka kwa beshte zako Itakuumiza Ukigundua wale unaoamini ndo wanaeneza Funga Mdomo fuuu Fyata Mdomo fwaaa Funga Mdomo fuuu Fyata Mdomo fyaaa Mkipatana pararapapa Unaroopokwa kila kitu Pararapapa ndio maana una ngangana Ngangana vitu zimekwama ata Ukikazana kazana Mkipatana pararapapa unaropokwa Kila kitu pararapapa ndio maana Una ngangana ngangana ooooh Kazan kazana Eeh bwana Funga Mdomo fuuu Fyata Mdomo fyaaa Funga Mdomo fuuu Fyata Mdomo Fyaaa Funga Mdomo fuuu Fyata Mdomo fyaa Nilimuomba Mungu aondoe Audi zangu Akaondoa rafiki zangu Mi sikujua nilodhani rafiki zangu Kumbe ndio Audui zangu Walichukizwa na mafanikio yangu Wakafuraishwa na matatizo yangu Na wakayatangaza madhaifu yangu Niliowaamani ni Wandani wangu Sasa nafunga Mdomo Fuuu fyata Mdomo Fyaaaa Funga Mdomo fuuu Fyata Mdomo fyaaa Funga Mdomo fuuu Fyata Mdomo fyaaa