Nangoja

Nangoja

Mathias Walichupa

Альбом: Nangoja
Длительность: 4:09
Год: 2024
Скачать MP3

Текст песни

Siachi
Nitasubiri ahadi zako (ooh)
Ninautambua, upendo wako
Juu ya maisha yangu (ouyee)
Ninazitambua, fadhili zako
Za mchana na usiku (ouwo-uuu)
Hata kwa hili ninalolipitia
Imani yangu ni kwamba litakwisha
Nitalizunguka Rohoni siku sita (6)
Kama Yeriko, Ya Saba litaanguka
Sichoki kukungojea, najua mawazo mema waniwazia
Siachi kuvumilia, nitasubiri ahadi zako kutimia
Imani yangu iko kwako we (ah-ah-ah-ah)
We haushindwi (ah-ah-ah)
Nakuamini (nitangoja utende)
Auchelewi, wala auwahi (ah-ah-ah-ah)
Ooh BWANA (ah-ah-ah-ah)
Mimi nitangoja (nitangoja utende)
Ooh-ooe

Chezaa Kompaaaa

Eeh, kila jambo na wakati wake
Najua na mimi wakati wangu upo
YESU wangu hawezi niacha
Atasimama na mimi (ouwo-uuu)
Japo nimesikia (nimesikia)
Maneno nayonenewa (maneno nayonenewa)
Yakunizuia kunikatisha tamaa, nianguke
Mimi nitalishika, lile uliloniambia
Maana neno lako ni Hakika, utafanya aah
Sichoki kukungojea, najua mawazo mema waniwazia
Siachi kuvumilia (nitasubiri)
Nitasubiri ahadi zako kutimia
Mimi Nakuamini (ah-ah-ah-ah)
Nakuamini (ah-ah-ah)
Hakuna gumu Kwako (nitangoja utende)
Subira yangu, Nitaiweka kwako(ah-ah-ah-ah)
Ooyeaa (ah-ah-ah)
Nitasubiri majira yako (nitangoja utende)

Chezaa Kompaaaa