Hayawani
Nyashinski
3:25Maybe I'm too good to you You take me so for granted Open your eyes and see You'll never find a better lover Original black man kama ule wa Genesis Na kama tu Genesis manyoka ndo bado ma-nemesis So niko strapped ka friends wana benefits Mm, na hewa ndo remedy, mm Msoto ndo enemy, mi ndo kusema Ni rap ama melody, bars unapewa ni ka uko na felony I'm running this shit by, literally jogging my memory Mi staki uniweke category Ka ni must acha ikuwe ebony Ka sina uwezo mi basi ni nani atieleta vile naileta Hizi level ni heavenly Hiyo negative energy, kaa nayo mbali ujionee Capital city inameza washamba (huyo) Wanapotea, mi nikishashika mikwanja (huyo) Nawachorea, I'm big enough kuhitaji bouncer (huyo) Anaromeo, na zikishashika ni blunder But utazoea Vako za ki-boss (utazoea) Na kunikosa (utazoea) Nasonga ki-source (utazoea) Na juu ya chopper (utazoea) Utaona ma-boss (utazoea) Na utachoka (utazoea) Yah, kuna ma-loss Na utatokwa Huku ma-gangster hutembea na escorts Prado tatu zimeashwa mataa, saa hizo mi nashikwa juu ya madreadlocks Na ufisadi ndio inahitaji effort Uh, kuna tension, na Corona imemaliza pension Tukipull up, ujue ni mateso, Babylon itakulwa na ghetto Mi niko job Naieleta tu roho vile inafaa kutoka Unamaliza chuo ukingoja kusota Ni wapi unajua degrees zinagurantee kupata job Ni maybe ka unajuana So kwa matembe na marijuana utapata vijana Na hivo ndo kuko jo Nairobi City inameza mapastor (huyo) Wanapotea, mi nikishashika mikwanja (huyo) Nawachorea, I'm big enough kuhitaji bouncer (huyo) Anaromeo, na zikishashika ni blunder But utazoea Vako za ki-source (utazoea) Na kunikosa (utazoea) Nasonga ki-source (utazoea) Na juu ya chopper (utazoea) Vako za ki-boss (utazoea) Na kunikosa (utazoea) Nasonga ki-source (utazoea) Na juu ya chopper Nakuanga grown Sikuskii ukiongea, niko zone Hapo sling inashine kama chrome Na kwa scene naingia ki-don Ki-don, siko late Show inaanza nikifika kwa gate Napull up na gari 28 Orezo pekee ndo anarelate Tu story si-exaggerate Unashindwa kukataa Unashindwa kukataa Beat inabanja, streets natambua Price inapanda, nakuanga grown Number one ndo mahali na-belong Niko hapo juu nimeasha vela ina-pong Kabla u-puff ushajua tu ni strong Na ni strong, saka form Bank account iwache ku-underperform At the top kunakuanga ku-lonely Uko alone unaombwa tu loan Baada ya loan (baada ya loan) I'll do anything for you love, anything for my woman Anything for your love, anything I'll do anything for you love, anything for my woman Anything for your love, anything I'll do anything for you love, anything for my woman Anything for your love, anything I'll do anything for you love, anything for my woman Anything for your love, anything for my woman Anything for your love, anything for my woman Anything for your love, anything